Mnamo mwaka 1964 Mungu aliwapa maono watumishi wake Baba Askofu Stephano Reuben Moshi (Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania), Baba Askofu Theofilo Kisanji (Kanisa la Moravian Tanzania) na Baba Askofu Mkuu John Sepeku (Kanisa Anglikana Tanzania) kubadilisha usajili wa TMC kuwa Christian Council of Tanzania (CCT), jina linalotumika hadi sasa.
Idadi ya Makanisa yaliyopo chini ya CCT imekuwa ikiongezeka kutoka Makanisa matatu (3) ya mwanzo mwaka 1934 hadi kufikia makanisa ya Kiprotestanti kumi na mbili (12) yaliyopo mwaka 2024
Mkoa wa iringa unaundwa na makanisa…..
HUDUMA ZETU
Tunachofanya Mkoani Iringa
Tunashughulikia imani, maendeleo ya jamii
Utume na Uinjilisti
Kuimarisha umoja wa makanisa wanachama CCT, kusimamia watoto shuleni kupitia UKWATA.
Uwekezaji
Maendeleo na Utetezi
Omba huduma unayohitaji hapa:
HABARI NA MATANGAZO
Habari Mpya za CCT Iringa
Fuatilia shughuli na matukio ya hivi karibuni mkoani Iringa.