Jumuiya ya Kikristo-Mkoa wa Iringa (CCT-Iringa)

Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe nyinyi kwa njia ya Kristo, Waefeso 4:32

0000

MWAKA WA KUANZISHWA

0000

MAKANISA WANACHAMA

0000

MAJIMBO YALIYOFIKIWA

0000

USAJILI RAMSI

UONGOZI

Viongozi wa CCT Iringa

Timu inayoongoza shughuli za CCT mkoani Iringa.

Mnamo mwaka 1964 Mungu aliwapa maono watumishi wake Baba Askofu Stephano Reuben Moshi (Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania), Baba Askofu Theofilo Kisanji (Kanisa la Moravian Tanzania) na Baba Askofu Mkuu John Sepeku (Kanisa Anglikana Tanzania) kubadilisha usajili wa TMC kuwa Christian Council of Tanzania (CCT), jina linalotumika hadi sasa.

Idadi ya Makanisa yaliyopo chini ya CCT imekuwa ikiongezeka kutoka Makanisa matatu (3) ya mwanzo mwaka 1934 hadi kufikia makanisa ya Kiprotestanti kumi na mbili (12) yaliyopo mwaka 2024

Mkoa wa iringa unaundwa na makanisa…..

HUDUMA ZETU

Tunachofanya Mkoani Iringa

Tunashughulikia imani, maendeleo ya jamii

Utume na Uinjilisti

Kuimarisha umoja wa makanisa wanachama CCT, kusimamia watoto shuleni kupitia UKWATA.

Uwekezaji

Maendeleo na Utetezi

Omba huduma unayohitaji hapa:

HABARI NA MATANGAZO

Habari Mpya za CCT Iringa

Fuatilia shughuli na matukio ya hivi karibuni mkoani Iringa.

Aprili 10, 2026

Mkutano Mkuu wa CCT Iringa 2026 Uliofanyika Mjini Iringa

Viongozi wa makanisa wanachama na wadau wa mkoa walikutana kujadili mwelekeo wa programu za 2026 na kuimarisha ushirikiano.

Machi 28, 2026

Mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Vijana Mkoani

Machi 15, 2026

CCT Iringa Yaimarisha Mradi wa Kilimo Wilayani Kilolo

Februari 5, 2026

Ibada ya Watu Wazima 2026 — Mbeya: Ripoti ya Mkoa

MATUKIO YAJAYO

Kalenda ya Shughuli

Matukio muhimu ya CCT Mkoa wa Iringa kwa mwaka 2026.

CCT Day — Maadhimisho ya Kitaifa 2026

Kitaifa Mkoani Mbeya.

Semina ya Utetezi na Haki za Binadamu — Iringa

Kanisa Kuu la Iringa • Saa 9:00 Asubuhi

Mkutano wa Wanawake wa Makanisa Wanachama

Ofisi ya CCT Iringa • Saa 10:00 Asubuhi

MATUKIO KATIKA PICHA

Walimu wa Elimu ya Kikristo CCT Mkoa wa Iringa baada ya mafunzo ya CBS walifurahi kupewa ujuzi zaidi na mbinu bora kwa ufundishaji.

Soma zaidi »

Mwenyekiti wa CCT Mkoa Askofu Dr Joseph Mgomi (kulia) akiwa na Askofu Agripa Kyamajoli wa Baptist Kanda ya Iringa na Chaplain wa CCT Mkoa pamoja

Soma zaidi »

MAWASILIANO

Wasiliana Nasi

Tuko tayari kukusaidia. Wasiliana nasi kupitia njia yoyote hapa chini.

Anuani

S.L.P-Iringa, Tanzania

Simu

+255

Barua Pepe

info@cctiringa.org

Anwani

Barabara ya:

S.L.P 

IRINGA

Huduma Zetu

Viunganishi Muhimu (Links)

Kupata Habari Mpya

Jiandikishe kwa jarida letu upate habari mpya kuhusu huduma zetu.